MWAKALUKWA DAY

Published on Slideshow
Static slideshow
Download PDF version
Download PDF version
Embed video
Share video
Ask about this video

Scene 1 (0s)

MWAKALUKWA DAY. Karibuni sana.

Scene 3 (42s)

Maisha ni safari. Hayawi hayawi Hatimaye Yamekua.

Scene 4 (1m 2s)

Ndoa ni muungano kati ya watu wawili . Tukio la kuanzisha ndoa linaitwa harusi ,.

Scene 5 (1m 28s)

KAZI IKAANZA YA KUSAKA.

Scene 6 (1m 53s)

Mithali 18:22 Apataye mke apata kitu chema ; Naye ajipatia kibali kwa BWANA..

Scene 7 (2m 16s)

HONGERA SANA EMANUEL KWA KUJUA KUTUFURAHISHA.

Scene 8 (2m 44s)

19 TH APRIL 2022 THE JOURNEY BEGAN.

Scene 9 (3m 7s)

Baraza la wazee wa Maamuzi tulikaa kupatana mahari na Posa tulianzisha.

Scene 11 (3m 55s)

Kikao kilikuwa kigumu kidogo na kwa kuwa Hakuna Mkate Mgumu mbele ya Chai, Tukapiga bao.

Scene 12 (4m 19s)

Kitu Cha send of kikaanza.

Scene 14 (5m 6s)

21-04-2022. Naona kama Maono Kumbe Ndivyo ilivyo.

Scene 15 (5m 28s)

[Audio] Hii ndio siku ambayo nimewahi kumuona Emmanuel Mwakalukwa akiwa amefurahi.

Scene 16 (5m 50s)

Asanteni kwa Ukaribisho.

Scene 17 (6m 13s)

Zab 116:12-14 Nimrudishie BWANA nini Kwa ukarimu wake wote alionitendea ? Nitakipokea kikombe cha wokovu ; Na kulitangaza jina la BWANA; Nitaziondoa nadhiri zangu kwa BWANA, Naam , mbele ya watu wake wote ..

Scene 18 (6m 37s)

Maandalizi ya Harusi yakaanza.

Scene 19 (7m 0s)

Keki ikaletwa ukumbi Amaizing Mbugani Ukaandaliwa.

Scene 20 (7m 21s)

Msosi ulikuwa wa Kinamna Kwenye Simple Party.

Scene 21 (7m 42s)

Mara Emmanuel Huyo akaingia Kukagua Kambi.

Scene 22 (8m 4s)

Sherehe I lichua Muda Mfupi tu na kila Mtu aliondoka akisema hajawahi kuona sherehe Nzuri kama hii.

Scene 23 (8m 27s)

Mara Muha wa watu huyo akaingia.

Scene 26 (9m 32s)

Nasaka Mke wangu ikaanza , Chezea Mwakalukwa wewe ..

Scene 31 (11m 23s)

EMMANUEL E. MWALIKWA NA ROSE CHARLES KATABE.

Scene 32 (11m 45s)

TUNAMSHUKURU MUNGU, WADAU MBALIMBALI KWA KUFANIKISHA HAFLA YETU BWANA MUNGU AWABARIKI..